Friday 20 February 2015

SHULE ZETU

Inapofika Ijumaa kwa baadadhi ya Shule zetu, wanafunzi wanaona bora ili wapate mapumziko nyumbani maana maisha ya shule kwao inakuwa ni mzigo. Je elimu waipatayo na mazingira wasomayo yanawapa furaha na hamu ya kuendelea kujifunza?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako