Monday 9 February 2015

SHULE ZETU

Ikiwa ni jumatatu kumekucha kila mwanafunzi akiwahi shule , wafanyakazi makazini na wakulima mashambani, hali ya shule zetu bado ni tata
Ila tujitahidi tu kusoma maana tusije tukavaa nguo kama hizi bila kujua maana ya maandishi yake

No comments:

Post a Comment

Maoni yako