Wednesday 25 February 2015

MAISHA JAMANI MAISHA

Huwezi amini hata baada ya kupigana sana kupunguza hali ngumu kwa Watanzania ili waweze pata maisha bora kila mtanzania, bado kwa wengine huu ni msamiati. Hata wembe au mkasi tu wa kunyolea ni shidaaa. Ila tusikate tamaa tuendelee kujitahidi itawezekana.
Nae huyu naona ana ndoto nzuri ya kuwa mmiliki wa gari au labda dereva wa gari fulani. Kasome utimize ndogo yako sasa.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako