Wednesday 25 February 2015

MKUU MPYA WA WILIYA YA KINONDONI AANZA KAZI

Mhe Paul Makonda,Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni ameanza kazi baada ya kuapishwa hapo jana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadiki. Amesisitiza kuwa atatimiza majukumu yake kwa kufuata alichokiita STK( Sheria, Taratibu na Kanuni) na kwamba anafanya kazi ya kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Wilaya alopangiwa.
Mhe. Makonda akitia sahihi kiapo tayari kuanza kazi kama Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni.
Mhe.Rais Kikwete akisalimiana na Mhe.Paul Makonda huko katika Shule ya Msingi Kunduchi ambapo mhe Rais alikwenda kukagua Maabara pamoja na kugawa vitabu vya Sayansi vilivyochapishwa kwa Msaada wa Watu wa Marekani.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako