Thursday 5 February 2015

TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA SHERIA DUNIANI

Mhe. Rais Kikwete akihudhuria siku ya sheria duniani Jijini Dar
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman akitoa hutuba katika kilele hicho
Hili ni moja ya jengo la mahakama ambapo ndiyo majadiliano ya sheria kuchukua mkondo wake hufanyika. Kuna umuhimu wa kuboresha hali na mazingira ya majengo haya jamani.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako