Saturday 21 February 2015

MHE.RAIS KIKWETE MWENYEKITI MPYA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Mhe Rais Jakaya Kikwete akipokea bendera ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kutoka kwa Mhe. Raisi Uhuru Kenyatta wa Kenya kama ishara ya kuwa mwenyekiti mypa wa Jumuiya hiyo katika Mkutano wa 16 huko KICC Kenya.
Viongozi Maraisi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja
Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika mazungumzo muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha 16 cha Jumuiya hiyo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako