Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishutumu Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wamepokea rushwa.
Alichokiandika Zitto: “Kutokana na shutuma hizo ameamua kumuandikia spika barua ya kujiuzulu na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.”
Hii ni nakala ya barua yake aliyomwandikia Mhe.Spika wa Bunge
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
9 hours ago




No comments:
Post a Comment
Maoni yako