Sunday 19 April 2015

FASTJET YAZINDUA SAFARI KILIMANJARO-ENTEBBE

Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Mhe. Jimmy Kibati akikata keki kuashiria uzinduzi wa Safari za ndege ya Fastjet katiya Kilimanjaro (KIA) na Entebbe Uganda. Uzinduzi huu ulifanyika wiki ilopita katika Uwanja wa Ndege wa Entebbe nchini Uganda. Hii ni katika kukuza huduma za anga Afrika Mashariki.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako