Wakati mwingine akipiga usingizi tena kazini na silaha imekaa kihatari, wengine wanaendelea kujituma vilivyo. Mungu abariki juhudi za kila anayejitahidi na wewe unayelala usingizi katika eneo la kazi tambua familia na jamii inakuhitaji. Wajibika!
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
13 hours ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako