Mtayarishaji na Mwongozaji mahiri wa filamu hapa Bongo,Adam Kuambiana anaagwa leo katika Viwanja vya Leaders jijini Dar na baadae kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni. Mungu ailaze pema roho yake.Amen
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako