Wakati mwingine tunakuwa watumwa wa mali zetu wenyewe na hata kuwa wachoyo kimatumizi na hivyo kujikuta tunachelewesha maendeleo. Unapokuwa nacho tumia ipasavyo japo kwa uangalifu lakini sio kuwa mchoyo na kutojiamini hivi. Kujiamini kunaanza kwako na pia kunaelekea kwa wengine. Kukosekana kwa uaminifu ni kero kubwa kwa jamii na huanza hivi hivi kwa mambo madogo kama haya. Simu tu unaiwekea kofuli,ingekuwa bastola....
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
51 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako