Basi la Kampuni ya Dar Express T580CEP limepata ajali leo majira ya saa nne asubuhi maeneo ya Wami. Lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Nairobi kupitia Moshi na Arusha. Abiria wengi wamenusurika japo wapo majeruhi wachache. Tuwaombee wapate nafuu mapema.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
9 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako