Kwa wafugaji wa kuku tuwahi kwenye mabanda ya kuku wetu
Chukua usafiri wowote uliopo na kama hamna tembea kwa miguu
Kwa wakulima mashambani, mungu katupatia ardhi nzuri yenye rutuba twendeni tukawajibike.
Wachuuzi wa bidhaa mbalimbali mfano dagaa wa Kigoma kama wanavyoonekana hapa
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
13 hours ago

Hakika ni kweli kabisa!
ReplyDelete