"Wale wanaojitokeza kutupa misaada, nataka niwahakikishie ile misaada ni ya masharti. Unaweza ukapewa masharti kwamba usikohoe na kikohozi kinakujaga tu. Kwa hiyo ni lazima watanzania tujisimamie sisi wenyewe. Na tukisimama sisi wenyewe, Tanzania hii tutavuka. Tanzania hii tuna kila kitu, Tanzania ni matajiri lakini utajiri tumeukalia" - Rais Magufuli
TFS WACHANGIA MIL.20 KWA WENYE MAAFA KIBITI NARUFIJI
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako