Tuesday 26 April 2016

WABUNI MBINU ZA KUSAFIRISHA BANGI NA MIRUNGI LAKINI WAKAMATIKA

Polisi Mkoani Kilimanjaro imewanasa watu walokuwa na shehena ya Mirungi na misokoto ya Bangi wakiisafirisha kutoka nchi jirani ya Kenya kuingiza Arusha Tanzania. Tazama walivyojipack utadhani mabomu ya kujitoa muhanga

No comments:

Post a Comment

Maoni yako