Polisi Mkoani Kilimanjaro imewanasa watu walokuwa na shehena ya Mirungi na misokoto ya Bangi wakiisafirisha kutoka nchi jirani ya Kenya kuingiza Arusha Tanzania. Tazama walivyojipack utadhani mabomu ya kujitoa muhanga
TBS Yatoa Mafunzo kwa Waokaji Kuhusu Ubora wa Bidhaa
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako