Thursday 28 April 2016

MAFURIKO YAITIKISHA WILAYA YA MOSHI-KILIMANJARO

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza jambo na wataalamu alioongozana nao katika uwanja mdogo wa ndege wa Moshi kwa ajili ya kuruka na ndege ndo ya Shirika la Hifadhi za taifa (TANAPA) kwa ajili ya kujionea hali ya mafuriko.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako