Sunday 24 April 2016

MWALIMU NYERERE NA SOKA LA TANZANIA

Mwalimu Nyerere alikuwa mpenzi sana wa Soka la Tanzania, hadi pale mwaka 1972 Timu ya Soka ya Tanzania ilipoingia uwanjani bila tshirt na kukaguliwa na kusalimiana na Rais wa Sudan Mhe. Jaffar Mohammad el Nimeiry. Tangu siku hiyo akapoteza moyo wa kuwa shabiki mzuri wa Soka kwa kufedheheshwa na tukio lile

No comments:

Post a Comment

Maoni yako