Mwalimu Nyerere alikuwa mpenzi sana wa Soka la Tanzania, hadi pale mwaka 1972 Timu ya Soka ya Tanzania ilipoingia uwanjani bila tshirt na kukaguliwa na kusalimiana na Rais wa Sudan Mhe. Jaffar Mohammad el Nimeiry. Tangu siku hiyo akapoteza moyo wa kuwa shabiki mzuri wa Soka kwa kufedheheshwa na tukio lile
TBS Yatoa Mafunzo kwa Waokaji Kuhusu Ubora wa Bidhaa
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako