Friday 29 April 2016

MHE RAIS MAGUFULI AFUNGA KIKAO KAZI CHA MAKAMANDA WA POLISI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Makamanda wa Polisi wa mikoa mara baada ya kufungua kikao kazi chao katika ukumbi wa Dodoma Convention Center mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako