Friday 22 April 2016

MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATIMIZA MIAKA 90 YA KUZALIWA

Tar 21 Aprili 2016, Malkia Elizabeth II wa Uingereza aliadhimisha Miaka 90 ya kuzaliwa. Huyu ni Malkia aliyedumu muda mrefu katika kiti hicho cha Umalkia. Alizaliwa 21 Aprili 1926, akawa Malkia wa Uingereza kuanzia mwaka 1952

No comments:

Post a Comment

Maoni yako