Wednesday 27 April 2016

MAMA MARIA NYERERE ATEMBELEA DARAJA LA NYERERE - KIGAMBONI

Mama Maria Nyerere akifuatana na mwanae Mhe.Makongoro Nyerere na Msaidizi wake wametembelea Daraja la Nyerere ambapo ameonyesha furaha yake kuwa Ndoto ya Baba wa Taifa imetimia- Licha ya mvua kubwa ilokuwa yaendelea lea Jijini Dar, mama huyu aliamua kufika Darajani hapo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako