Monday 18 April 2016

WATANZANIA KUJENGE TABIA YA USAFI WA MAZINGIRA YETU

Taswira ya Usafi wa Mji wa Kigali nchini Rwanda.
Taswira ya mazingira ya usafi Jiji la Dar es Salaam. Hii ndugu zangu ni aibu tubadilike sasa.
Hongera nyingi kwa Mji wa Moshi Kilimanjaro kwa kujitahidi suala la usafi wa mazingira

No comments:

Post a Comment

Maoni yako