Thursday 31 March 2016

WABUNGE 3 KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU yawaburuza Mahakama ya Kisutu wabunge wa 3 wa Kamati za Kudumu za Bunge wanaotuhumiwa kwa Rushwa. Mh.Victor Mwambalaswa Mbunge wa Lupa,Mh.Sadiq Murad Mbunge wa Mvomero na Mh.Kangi Lugola Mbunge wa Mwibara

No comments:

Post a Comment

Maoni yako