Thursday 21 April 2016

MHE RAIS MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA NGAZI MBALIMBALI CCM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na Viongozi wa mikoa na wilaya wa Chama Cha Mapinduzi kutoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar ambapo aliwashukuru kwa kazi nzuri waliofanya kipindi cha uchaguzi na kuwataka kuwa wamoja na kukiimarisha Chama

No comments:

Post a Comment

Maoni yako