Friday 29 April 2016

MVUA HIZI HAZITAKI KUTUMBULIWA: HAMENI MABONDENI

Msemo unaojiri mjini kwa sasa ni kuwa Mvua nazo zinawajibika kunyesha kikamilifu kwa kuogopa kutumbuliwa. Ni muhimu kwa wale wanaoishi sehemu hatarishi kutafakari mara mbili maana japo ni hali ya maisha imepelekea waishi huko lakini kwa madhara ya mvua hii pia hali za maisha yao zinazidi kuwa mbaya.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako