Thursday 28 April 2016

HARAKATI ZA MAENDELEO YA MIUNDOMBINU

Haijapata kutokea, nchi yetu ndani ya siku saba, kuwa na hakika ya kuanza kwa miradi mikubwa miwili yenye kuvuka mipaka ya nchi yetu; mradi wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, na wa reli ya kati hadi Rwanda na Burundi.
Naamini zama hizi za Magufuli tutashuhudia ujenzi zaidi wa miundo mbinu na kukamilika kwa wakati. Miradi mikubwa ya ujenzi huinua uchumi wa nchi ikiwamo kutoa ajira mpya. Ndivyo ilivyokuwa Ujerumani na kwengineko duniani.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako