Friday 22 April 2016

KINADADA WA KITANZANIA KWANINI HAMJIKUBALI?

Binadamu tumeumbwa kwa sura na mfano wa Muumba (Kwa imani za kidini). Ni kawaida kwa kinadada kujiremba na kujitunza maana ndio silka yao. Lakini unapozidisha kujiremba unageuka kituko maana Waafrika kwa ngozi zetu tunapendeza sana.
Tazama dada huyu anavyopendeza (Natural is beautiful)
Ila kwa hii hapa comment wewe mwenyewe, mie sipooooo....

No comments:

Post a Comment

Maoni yako