Wednesday 2 March 2016

BEI YA MAFUTA YASHUKA KIDOGO

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngamlagosi amesema ‘kuanzia tarehe 2 Machi bei za mafuta zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la Februari 2016

No comments:

Post a Comment

Maoni yako