Tuesday 1 March 2016

WATANZANIA TUWE NA HULKA YA KUCHANGIA MAWAZO CHANYA NA SIO KUKATISHA TAMAA

Mhe Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akitoa ufafanuzi baada ya kutokea maoni mengi kupelekea wazo na ombi lake la Waalimu Mkoani Dar kusafiri bure kwenye daladala waendapo na kurudi toka shuleni.
VIDEO/AUDIO

No comments:

Post a Comment

Maoni yako