Friday 25 March 2016

WAKRISTO DUNIANI POTE WAFANYA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA YESU MSALABANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akijiandaa kuubusu Msalaba wakati wa Ibada ya Ijumaa kuu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam leo Ijumaa April 25, 2016

No comments:

Post a Comment

Maoni yako