"NAONA AIBU KUISHI KWENYE JIJI LENYE HALI HII".... RC MAKONDA
RC Mpya wa Mkoa wa Dar es Sallam Mhe.Paul Makonda leo amekutana na Wenyeviti wa Mitaa na Maafisa Watendaji wa Mkoa huo kujadiliana nao mambo mbalimbali huku akisema anaona aibu kuishi kwenye Jiji lenye kero zote hizi ilihali Wenyeviti wa Mitaa wapo.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako