Saturday 19 March 2016

"NAONA AIBU KUISHI KWENYE JIJI LENYE HALI HII".... RC MAKONDA


RC Mpya wa Mkoa wa Dar es Sallam Mhe.Paul Makonda leo amekutana na Wenyeviti wa Mitaa na Maafisa Watendaji wa Mkoa huo kujadiliana nao mambo mbalimbali huku akisema anaona aibu kuishi kwenye Jiji lenye kero zote hizi ilihali Wenyeviti wa Mitaa wapo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako