Wednesday 2 March 2016

PATA TABASAMU TOKA KWA MASANJA MKANDAMIZAJI

Ukisalimiana na mkuu wa nchi lazima ucheki pembeni kidogo, maana anaweza kuona kachunusi akadhani jipu. Kauliza nguo bei gani, nikasema tumegaiwa kanisani. Maana angeweza kusema hela umetoa wapi na risiti ya mashine ya TRA ya manunuzi iko wapi.πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏ

No comments:

Post a Comment

Maoni yako