Friday 4 March 2016

MHE.SAMIA SULUHU (MAKAMU WA RAIS) NA MHE:UMMY MWALIMU (WAZIRI) WAFANYA MAZUNGUMZO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, wakati waziri Mwalimu alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo March 04,2016 Kwa ajili ya mazungumzo ya kikazi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako