Wednesday 23 March 2016

BARUA ZA WAZI ZA WAH:ZITTO na BASHE KWA MHE SPIKA KUJIUZULU KUWA MJUMBE WA KAMATI

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishutumu Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wamepokea rushwa.
Alichokiandika Zitto: “Kutokana na shutuma hizo ameamua kumuandikia spika barua ya kujiuzulu na kumtaka achunguze na kuchukua hatua.”
Hii ni nakala ya barua yake aliyomwandikia Mhe.Spika wa Bunge

No comments:

Post a Comment

Maoni yako