Sunday 13 March 2016

DR:MACHINJI ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU MPYA WA CHADEMA

Dr. Vicent Machinji ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kupitishwa na Baraza Kuu la Chadema, katika kikao chake kilichokaa jijini Mwanza. Katika Kikao hicho cha Baraza Kuu kilichodumu hadi saa nne usiku, Freeman Mbowe alitangaza jina la Dk. Machinji na kuungwa mkono na wajumbe wa baraza hilo, hivyo anajaza nafasi iliyoachwa na Dk. Willibrod Slaa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako