Tuesday 29 March 2016

MHE RAIS MAGUFULI ATEMBELEA CHATO ALIKOZALIWA MARA YA KWANZA TANGU AWE RAIS

Akiwa njiani kuelekea Chato Geita, Mhe.Rais Magufuli na msafara wake walifanya "suprise" kwa kuingia mgahawani na kupata lunch.
Baada ya kufika mjini Chato, mhe.Rais Magufuli aliwahutubia wakazi waliofika kumsikiliza

No comments:

Post a Comment

Maoni yako