Unapompa mtu lift kwenye gari lako ni kitendo cha huruma na kawaida ukarimu wa kitanzania, lakini uwe makini kuangali kama abiria wako uliyempa lift amefunga mkanda vizuri, wengine hawajui na hivyo unapomwambia "Funga mkanda" unaeza shangaa mtu amejinyonga ukapata "murder case bure"
WALIMU SHINYANGA WAGUSWA NA KLINIKI YA SAMIA
2 hours ago
Duh kaaaaazi kwelikweli!!
ReplyDeleteNakwambia, si mchezo dada Yasinta
ReplyDelete