Ikiwa ni jumatatu ya mwisho kwa mwezi huu wa Machi, pilika zimeanza. Wengi wiki hii wakijiandaa kwa manunuzi kabla ya sikukuu ya Pasaka. Nawatakia utafutaji mwema. Hakuna kukata tamaa katika kutafuta riziki hata iwe unakumbana na adha kiasi gani.
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
35 minutes ago

Duh ..ili mrada kufika!!
ReplyDelete