Abiria wakigombania kuingia kuingia kwenye daladala hadi wengine wanapitia mlango wa dereva. Hii ni hatari na sio jambo la busara. Tunaomba Serikali izidi kuongeza nguvu kutatua tatizo hili
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
12 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako