Pamoja na kwamba baadhi ya watu wamejiingiza katika uvutaji wa sigara kama mojawapo ya starehe zao, lakini utafiti wa kitaalamu unaonyesha kuwa Uvutaji wa sigari ni hatari kwa afya yako (Huaribu mapafu) pia ni hatari kwa jamii inayokuzunguka. Ni muhimu kuchukua hatua za kuacha. Serikali inaongeza juhudi za kuzuia uvutaji wa sigara katika mikusanyiko ya watu/hadharani (Public areas)
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
13 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako