Rais Kikwete akiongea na Viongozi wa Chama Cha Albino Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi Machi 5, 2015 alipowakaribisha ili kusikiliza matatizo yao na kujadiliana nao mikakati ya namna ya kukomesha ukatili na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini.
(Picha kwa hisani ya Le Mutuz Blog)
MAANDALIZI YA LIGI YA MUUNGANO YAANZA
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako