Kuwakuta watoto katika hali kama hizi hasa maeneo ya vijiji asilia ni jambo la kawaida na kama ulitokea sehemu kama hizo na hukupitia hatua hizi basi kuna kitu ulimiss.
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
Umenikumbusha mbali kaka....
ReplyDeleteYaani we acha tu. Ulikuwa ugomvi usoisha na mama hasa inapofika muda wa kuoga
Deletehahaaaaa kazi kwelikweli!
ReplyDelete