Saturday 23 July 2016

"KIBEGA": NI MAPEMA SANA

Kutokana na hali ngumu ya maisha ya jamii nyingi nchini, watoto wengi wamejikuta wakilazimika kufanya kazi ambazo hawastahili katika umri huo. Ni jukumu la viongozi,wazazi na jamii kwa ujumla kuangalia hatua za kuchukua kutatua tatizo hili.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako