Saturday 23 July 2016

MHE DKT JOHN MAGUFULI ATANGAZWA RASMI MWENYEKITI MPYA WA CCM TAIFA

Mwenyekiti aliyemaliza Muda wake Dkt Jakaya Kikwete pamoja na Mwenyekiti mpya wa chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli wakiwapungia mkono Wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum mara baada ya matokeo kutangazwa rasmi na Dkt John Pombe Magufuli kuibuka kwa kura zote za ndio ziapatazo 2398 na hakuna kura zilizokuwa zimeharika.
Wakati huo huo, Mwenyekiti mpya wa CCM amemteua Mhe Kanali Abdulrhamani Kinana kuwa katibu Mkuu wa CCm licha ya kiongozi huyo kabla aliweka nia yake ya kujiuzulu

No comments:

Post a Comment

Maoni yako