Friday 8 July 2016

UTEUZI: MKURUGENZI MPYA WA TACAIDS

DKT LEONARD LUTEGAMA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Leonard Lutegama Maboko kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS).

No comments:

Post a Comment

Maoni yako