Friday 22 July 2016

DALILI ZA KUANZA UJENZI WA RELI YA KATI KISASA WAANZA KUONEKANA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servaciaus Likwelile akitiliana saini na Naibu Meneja Mikopo Nafuu wa Benki ya Exim ya China Bw. Zhu Ying kuhusu makubaliano ya awali ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge), jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako