Monday 11 July 2016

PORTUGAL (URENO) MABINGWA WA UEFA EURO 2016

Hata baada ya kuumia goti la kushoto kwa Nahodha wao na mchezaji maarufu Cristian Ronaldo, Timu ya Taifa ya Ureno ilipata goli la ushindi muda wa nyongeza kipindi cha pili kupitia mchezaji wake Eder
Eder akishangilia baada ya kuifungia Portugal bao la ushindi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako