Saturday 18 July 2015

ADHA WAPATAYO KINAMAMA HASA WA VIJIJINI

Ni matumaini yetu kuwa Serikali itakayoingia madarakani hapo Oktoba itajitahidi kusaidia kupunguza adha hii ya maji. Poleni sana kinamama wote mnaoteseka kwa tatizo jili la kufuata maji umbali mrefu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako