Ni matumaini yetu kuwa Serikali itakayoingia madarakani hapo Oktoba itajitahidi kusaidia kupunguza adha hii ya maji. Poleni sana kinamama wote mnaoteseka kwa tatizo jili la kufuata maji umbali mrefu.
VIAZI MVIRINGO VYAFUNGUA FURSA MPYA YA KILIMO DODOMA
12 hours ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako