Mwisho wa juma umewadia, nawapa pole kwa majukumu mbalimbali ya kujenga Taifa,familia na pilika zote za kutafuta maisha bora. Ila ni muhimu kuwa makini namna tunavyotumia weekend zetu hasa ukizingatia hii imekuja mwishoni mwa mwezi pia.
Kwa staili hii ya unywaji, tutafika kweli???
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako