Kijana huyu Elvis Munisi (Leollo) ameendesha baiskeli kutoka Chile kupitia nchi 47 hadi Kilimanjaro Tanzania zaidi ya kilomita 28,000 kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC unaodhaminiwa na kampuni ta simu za mkononi wa TIGO
AKWILAPO ASISITIZA WAMILIKI WA ARDHI KUENDELEZA MAENEO
55 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako