Sunday 22 June 2014

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA

Nimeipenda picha hii iwe mwangaza wetu kwa siku ya leo. Katika maisha ni muhimu sana kujali utu wa mtu kwanza kabla ya makandomando ya nje. Nimewapenda maharusi hawa maana wameweka utu na upendo wa kweli mbele bila kujali mapungufu yao. Hakika maisha yao ni ya baraka maana kilichopo moyoni ndo kinasimamia maisha yao. Hongereni sana na Mungu awabariki.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako