Nimeipenda picha hii iwe mwangaza wetu kwa siku ya leo. Katika maisha ni muhimu sana kujali utu wa mtu kwanza kabla ya makandomando ya nje. Nimewapenda maharusi hawa maana wameweka utu na upendo wa kweli mbele bila kujali mapungufu yao. Hakika maisha yao ni ya baraka maana kilichopo moyoni ndo kinasimamia maisha yao. Hongereni sana na Mungu awabariki.
CDF MKUNDA AELEZA UMUHIMU WA JKT KATIKA ULINZI WA TAIFA
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako