Nimeipenda picha hii iwe mwangaza wetu kwa siku ya leo. Katika maisha ni muhimu sana kujali utu wa mtu kwanza kabla ya makandomando ya nje. Nimewapenda maharusi hawa maana wameweka utu na upendo wa kweli mbele bila kujali mapungufu yao. Hakika maisha yao ni ya baraka maana kilichopo moyoni ndo kinasimamia maisha yao. Hongereni sana na Mungu awabariki.
TBS wazindua mashindano ya Insha vyuo vikuu
11 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako